Waamuzi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakukubali kulala usiku kucha, bali alisimama, akaondoka na kwenda mpaka mbele ya Yebusi,+ yaani, Yerusalemu;+ naye alikuwa na wale punda-dume wawili waliotandikwa, na suria wake na mtumishi wake.
10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakukubali kulala usiku kucha, bali alisimama, akaondoka na kwenda mpaka mbele ya Yebusi,+ yaani, Yerusalemu;+ naye alikuwa na wale punda-dume wawili waliotandikwa, na suria wake na mtumishi wake.