Yoshua 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+ Waamuzi 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu;+ bali Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Benyamini katika Yerusalemu mpaka leo.+
28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+
21 Na wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu;+ bali Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Benyamini katika Yerusalemu mpaka leo.+