2 Samweli 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa juu ya jeshi; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani. 1 Wafalme 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na habari hiyo ikamfikia Yoabu+—kwa maana Yoabu alikuwa na mwelekeo wa kumfuata Adoniya,+ ingawa hakuwa na mwelekeo wa kumfuata Absalomu+—na Yoabu akakimbia kwenda katika hema+ la Yehova, akashikilia kwa nguvu pembe za madhabahu.+
28 Na habari hiyo ikamfikia Yoabu+—kwa maana Yoabu alikuwa na mwelekeo wa kumfuata Adoniya,+ ingawa hakuwa na mwelekeo wa kumfuata Absalomu+—na Yoabu akakimbia kwenda katika hema+ la Yehova, akashikilia kwa nguvu pembe za madhabahu.+