12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu.
9 Mwishowe Adoniya akafanya dhabihu+ ya kondoo na ng’ombe na vinono karibu na lile jiwe la Zohelethi, lililoko kando ya En-rogeli,+ akawaalika ndugu zake wote wana wa mfalme+ na wanaume wote wa Yuda watumishi wa mfalme;