Yohana 11:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Kwa sababu hiyo Yesu hakutembea tena huku na huku hadharani+ kati ya Wayahudi,+ bali aliondoka huko mpaka nchi iliyo karibu na nyika, akaingia katika jiji linaloitwa Efraimu,+ na humo akakaa pamoja na wanafunzi.
54 Kwa sababu hiyo Yesu hakutembea tena huku na huku hadharani+ kati ya Wayahudi,+ bali aliondoka huko mpaka nchi iliyo karibu na nyika, akaingia katika jiji linaloitwa Efraimu,+ na humo akakaa pamoja na wanafunzi.