23 Na ikawa, baada ya miaka miwili kamili, Absalomu akawa na watu wenye kukata manyoya ya kondoo+ kule Baal-hasori, karibu na Efraimu;+ naye Absalomu akawaalika wana wote wa mfalme.+
19 Na Abiya akaendelea kumfuatilia Yeroboamu, akateka majiji kutoka kwake, Betheli+ na miji yake ya kandokando, na Yeshana na miji yake ya kandokando, na Efraini na miji yake ya kandokando.+