1 Samweli 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Daudi akasikia akiwa nyikani kwamba Nabali alikuwa akikata kondoo zake manyoya.+ 1 Samweli 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na je, nichukue mkate+ wangu na maji yangu na nyama yangu ambayo nimewachinjia wakataji-manyoya wangu na kuwapa watu ambao sijui hata wanatoka wapi?”+
11 Na je, nichukue mkate+ wangu na maji yangu na nyama yangu ambayo nimewachinjia wakataji-manyoya wangu na kuwapa watu ambao sijui hata wanatoka wapi?”+