Kumbukumbu la Torati 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 nawe useme moyoni mwako, ‘Nguvu zangu mwenyewe na uwezo kamili wa mkono wangu mwenyewe zimenifanyizia mali hii.’+ Waamuzi 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wakuu wa Sukothi wakasema: “Je, viganja vya mikono ya Zeba na Zalmuna tayari vimo mkononi mwako ili jeshi lako lipewe mkate?”+ 2 Wakorintho 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+
17 nawe useme moyoni mwako, ‘Nguvu zangu mwenyewe na uwezo kamili wa mkono wangu mwenyewe zimenifanyizia mali hii.’+
6 Lakini wakuu wa Sukothi wakasema: “Je, viganja vya mikono ya Zeba na Zalmuna tayari vimo mkononi mwako ili jeshi lako lipewe mkate?”+
10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+