Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu hawakuja kuwasaidia+ kwa mkate na maji njiani mlipokuwa mkitoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi juu yako Balaamu yule mwana wa Beori kutoka Pethori ya Mesopotamia, ili akulaani.+

  • Waamuzi 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ‘Laani+ Merozi,’ akasema malaika wa Yehova,+

      ‘Walaani wakaaji wake bila kukoma,

      Kwa sababu hawakuja kumsaidia Yehova,

      Kumsaidia Yehova pamoja na wanaume wenye nguvu.’

  • 1 Samweli 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Nabali akawajibu watumishi wa Daudi na kusema: “Daudi ni nani,+ na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wanaotoroka, kila mmoja kutoka mbele ya bwana wake, wamekuwa wengi.+

  • 1 Samweli 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na je, nichukue mkate+ wangu na maji yangu na nyama yangu ambayo nimewachinjia wakataji-manyoya wangu na kuwapa watu ambao sijui hata wanatoka wapi?”+

  • Methali 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Usiwanyime watu mema wanayostahili,+ mkono wako ukiwa na uwezo wa kuyafanya.+

  • Yakobo 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na mmoja wenu amwambie: “Nenda kwa amani, jipashe moto na kula vizuri,” lakini ninyi mkose kumpa mahitaji ya mwili wake, ina faida gani?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki