1 Samweli 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baadaye watu wa Zifu+ wakaenda kwa Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi+ karibu nasi katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule Horeshi,+ katika kilima cha Hakila,+ kilicho upande wa kuume wa Yeshimoni?+ 1 Samweli 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Baada ya muda watu wa Zifu+ wakamjia Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi katika kilima cha Hakila,+ kinachoelekeana na Yeshimoni?”+
19 Baadaye watu wa Zifu+ wakaenda kwa Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi+ karibu nasi katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule Horeshi,+ katika kilima cha Hakila,+ kilicho upande wa kuume wa Yeshimoni?+
26 Baada ya muda watu wa Zifu+ wakamjia Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi katika kilima cha Hakila,+ kinachoelekeana na Yeshimoni?”+