1 Samweli 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo wakaondoka, wakaenda Zifu+ kumtangulia Sauli, huku Daudi na watu wake wakiwa katika nyika ya Maoni+ katika Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni. 1 Samweli 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Baada ya muda watu wa Zifu+ wakamjia Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi katika kilima cha Hakila,+ kinachoelekeana na Yeshimoni?”+
24 Kwa hiyo wakaondoka, wakaenda Zifu+ kumtangulia Sauli, huku Daudi na watu wake wakiwa katika nyika ya Maoni+ katika Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni.
26 Baada ya muda watu wa Zifu+ wakamjia Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi katika kilima cha Hakila,+ kinachoelekeana na Yeshimoni?”+