1 Samweli 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baadaye watu wa Zifu wakapanda kwenda kwa Sauli kule Gibea+ na kumwambia: “Daudi anajificha karibu nasi+ katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi kule Horeshi,+ kwenye kilima cha Hakila,+ kilicho upande wa kusini* wa Yeshimoni.*+
19 Baadaye watu wa Zifu wakapanda kwenda kwa Sauli kule Gibea+ na kumwambia: “Daudi anajificha karibu nasi+ katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi kule Horeshi,+ kwenye kilima cha Hakila,+ kilicho upande wa kusini* wa Yeshimoni.*+