1 Samweli 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Baada ya muda watu wa Zifu+ wakaja kwa Sauli huko Gibea,+ wakisema: “Daudi amejificha kwenye kilima cha Hakila, ng’ambo ya Yeshimoni.”*+ Zaburi 54:utangulizi Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Maskili.* Wa Daudi, Wazifu walipokuja na kumwambia Sauli: “Daudi anajificha miongoni mwetu.”+
26 Baada ya muda watu wa Zifu+ wakaja kwa Sauli huko Gibea,+ wakisema: “Daudi amejificha kwenye kilima cha Hakila, ng’ambo ya Yeshimoni.”*+
Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Maskili.* Wa Daudi, Wazifu walipokuja na kumwambia Sauli: “Daudi anajificha miongoni mwetu.”+