Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Daudi akakaa nyikani katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi, kwenye eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Sauli aliendelea kumtafuta,+ lakini Yehova hakumtia Daudi mikononi mwake.

  • 1 Samweli 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baadaye watu wa Zifu wakapanda kwenda kwa Sauli kule Gibea+ na kumwambia: “Daudi anajificha karibu nasi+ katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi kule Horeshi,+ kwenye kilima cha Hakila,+ kilicho upande wa kusini* wa Yeshimoni.*+

  • 1 Samweli 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi wakaondoka na kumtangulia Sauli kwenda Zifu,+ na wakati huo Daudi na wanaume wake walikuwa katika nyika ya Maoni,+ kule Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni.

  • Zaburi 54:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Maskili.* Wa Daudi, Wazifu walipokuja na kumwambia Sauli: “Daudi anajificha miongoni mwetu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki