14 Daudi akakaa nyikani katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi, kwenye eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Sauli aliendelea kumtafuta,+ lakini Yehova hakumtia Daudi mikononi mwake.
19 Baadaye watu wa Zifu wakapanda kwenda kwa Sauli kule Gibea+ na kumwambia: “Daudi anajificha karibu nasi+ katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi kule Horeshi,+ kwenye kilima cha Hakila,+ kilicho upande wa kusini* wa Yeshimoni.*+
24 Basi wakaondoka na kumtangulia Sauli kwenda Zifu,+ na wakati huo Daudi na wanaume wake walikuwa katika nyika ya Maoni,+ kule Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni.