8 Basi wakawatuma watu wawakusanye kwao wakuu wote wa muungano wa Wafilisti, wakasema: “Tutalifanyia nini sanduku la Mungu wa Israeli?” Mwishowe wakasema: “Acheni sanduku la Mungu wa Israeli lizunguke kwenda Gathi.”+ Basi wakalibeba sanduku la Mungu wa Israeli kwa kuzunguka mpaka huko.