1 Samweli 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi akatuma watu, naye akaletwa. Naye alikuwa mwekundu,+ kijana mwenye macho yenye kupendeza na mwenye sura nzuri. Ndipo Yehova akasema: “Simama, mtie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+
12 Basi akatuma watu, naye akaletwa. Naye alikuwa mwekundu,+ kijana mwenye macho yenye kupendeza na mwenye sura nzuri. Ndipo Yehova akasema: “Simama, mtie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+