1 Samweli 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na mashamba yenu na mizabibu+ yenu na mizeituni+ yenu, iliyo bora zaidi, atachukua na kuwapa watumishi wake. 1 Samweli 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake waliokuwa wamemzunguka: “Tafadhali, sikilizeni, enyi Wabenyamini. Je, mwana wa Yese+ atawapa ninyi nyote mashamba na mizabibu?+ Je, atawaweka nyote kuwa wakuu wa maelfu+ na wakuu wa mamia?
14 Na mashamba yenu na mizabibu+ yenu na mizeituni+ yenu, iliyo bora zaidi, atachukua na kuwapa watumishi wake.
7 Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake waliokuwa wamemzunguka: “Tafadhali, sikilizeni, enyi Wabenyamini. Je, mwana wa Yese+ atawapa ninyi nyote mashamba na mizabibu?+ Je, atawaweka nyote kuwa wakuu wa maelfu+ na wakuu wa mamia?