2 Samweli 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Amnoni alikuwa na rafiki ambaye jina lake lilikuwa Yehonadabu,+ mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi; na Yehonadabu alikuwa mwanamume mwenye hekima sana. 2 Samweli 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye akaendelea kudhihaki+ Israeli. Mwishowe Yonathani+ mwana wa Shimei,+ ndugu ya Daudi, akampiga na kumuua.
3 Basi Amnoni alikuwa na rafiki ambaye jina lake lilikuwa Yehonadabu,+ mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi; na Yehonadabu alikuwa mwanamume mwenye hekima sana.
21 Naye akaendelea kudhihaki+ Israeli. Mwishowe Yonathani+ mwana wa Shimei,+ ndugu ya Daudi, akampiga na kumuua.