1 Samweli 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Mfilisti huyo akaendelea kusema: “Mimi ninavitukana+ vikosi vya Israeli leo. Nipeni mwanamume, tupigane naye!”+ 1 Samweli 17:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Naye Daudi akamwambia yule Mfilisti: “Unakuja kwangu ukiwa na upanga na mkuki na fumo,+ lakini mimi naja kwako nikiwa na jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.+ 2 Wafalme 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+
10 Na Mfilisti huyo akaendelea kusema: “Mimi ninavitukana+ vikosi vya Israeli leo. Nipeni mwanamume, tupigane naye!”+
45 Naye Daudi akamwambia yule Mfilisti: “Unakuja kwangu ukiwa na upanga na mkuki na fumo,+ lakini mimi naja kwako nikiwa na jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.+
22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+