1 Mambo ya Nyakati 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Azmavethi mwana wa Adieli ndiye aliyesimamia hazina za mfalme.+ Yonathani mwana wa Uzia alisimamia maghala yaliyokuwa* mashambani, katika majiji, vijijini, na katika minara.
25 Azmavethi mwana wa Adieli ndiye aliyesimamia hazina za mfalme.+ Yonathani mwana wa Uzia alisimamia maghala yaliyokuwa* mashambani, katika majiji, vijijini, na katika minara.