16 Ndipo wale wanaume watatu wenye nguvu wakaingia kwa nguvu katika kambi ya Wafilisti, wakateka maji kutoka katika lile tangi la Bethlehemu lililoko langoni, wakaja wakiwa wameyachukua na kumletea Daudi;+ naye hakukubali kuyanywa, bali akayamwaga+ mbele za Yehova.