2 Samweli 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo wale mashujaa watatu hodari wakaingia kwa nguvu katika kambi ya Wafilisti, wakateka maji kutoka katika tangi hilo lililo karibu na lango la Bethlehemu na kumletea Daudi; lakini akakataa kuyanywa, akayamwaga mbele za Yehova.+ 2 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 23:16 lv 77 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:16 Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 91 “Upendo wa Mungu,” uku. 77
16 Ndipo wale mashujaa watatu hodari wakaingia kwa nguvu katika kambi ya Wafilisti, wakateka maji kutoka katika tangi hilo lililo karibu na lango la Bethlehemu na kumletea Daudi; lakini akakataa kuyanywa, akayamwaga mbele za Yehova.+