18 Ndipo wale watatu wakaingia kwa nguvu katika kambi ya Wafilisti, wakateka maji kutoka katika lile tangi la Bethlehemu lililoko langoni, wakaja wakiwa wameyachukua na kumletea Daudi.+ Naye Daudi hakukubali kuyanywa, bali akayamwaga mbele za Yehova.+