1 Samweli 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi wakakusanyika pamoja kule Mispa, nao wakachota maji na kuyamwaga mbele za Yehova na kufunga siku hiyo.+ Nao wakaanza kusema huko: “Tumemtendea dhambi Yehova.”+ Naye Samweli akawahukumu+ wana wa Israeli katika Mispa.
6 Basi wakakusanyika pamoja kule Mispa, nao wakachota maji na kuyamwaga mbele za Yehova na kufunga siku hiyo.+ Nao wakaanza kusema huko: “Tumemtendea dhambi Yehova.”+ Naye Samweli akawahukumu+ wana wa Israeli katika Mispa.