Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+

  • Waamuzi 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema: “Tumekutendea dhambi,+ kwa sababu tumemwacha Mungu wetu nasi tunatumikia Mabaali.”+

  • 1 Wafalme 8:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 nao warudiwe na fahamu zao katika nchi ile ambayo wamechukuliwa mateka,+ nao hakika warudi+ na kutoa kwako ombi+ la kutaka kibali katika nchi ya watekaji wao,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi+ na kukosea,+ tumetenda uovu’;+

  • Zaburi 106:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+

      Tumefanya kosa; tumetenda kwa uovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki