9 Kisha wana wa Haruni wakampa damu+ naye akachovya kidole chake katika damu+ hiyo na kuitia juu ya pembe za madhabahu,+ na ile damu nyingine iliyobaki akaimimina kwenye msingi wa madhabahu.
13 “‘Na mtu yeyote kati ya wana wa Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu ambaye katika kuwinda anamkamata mnyama-mwitu au ndege anayeweza kuliwa, basi ataimwaga damu+ yake na kuifunika kwa mavumbi.+