1 Mambo ya Nyakati 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Finehasi+ mwana wa Eleazari+ ndiye aliyekuwa kiongozi juu yao hapo zamani. Yehova alikuwa pamoja naye.+ Zaburi 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela Isaya 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+
20 Na Finehasi+ mwana wa Eleazari+ ndiye aliyekuwa kiongozi juu yao hapo zamani. Yehova alikuwa pamoja naye.+
10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+