Hesabu 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nalo litatumika kama agano la ukuhani mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yake na uzao wake baada yake,+ kwa kuwa hakuvumilia ushindani wowote kumwelekea Mungu+ wake naye alifanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli.’”+ Matendo 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+
13 Nalo litatumika kama agano la ukuhani mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yake na uzao wake baada yake,+ kwa kuwa hakuvumilia ushindani wowote kumwelekea Mungu+ wake naye alifanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli.’”+
9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+