10 Naye akasema: “Nimekuwa na wivu+ kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi; kwa maana wana wa Israeli wameliacha agano lako,+ wamezibomoa+ madhabahu zako, nao wamewaua manabii wako kwa upanga,+ hivi kwamba ni mimi peke yangu nimebaki;+ nao wanaanza kuitafuta nafsi yangu ili kuiondoa.”+