Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndipo watalazimika kusema, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano+ la Yehova Mungu wa mababu zao, ambalo alifanya pamoja nao alipowatoa katika nchi ya Misri.+

  • Waamuzi 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mwishowe hasira ya Yehova ikawaka+ juu ya Israeli naye akasema: “Kwa sababu taifa hili wamevunja agano+ langu ambalo niliwaamuru mababu zao, nao hawakuisikiliza sauti yangu,+

  • 1 Wafalme 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba mawili+ ya mawe ambayo Musa aliweka+ humo kule Horebu, wakati Yehova alipokuwa amemaliza kufanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri.+

  • 2 Wafalme 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 nao wakaendelea kukataa masharti yake na agano+ lake alilofanya na mababu zao na vikumbusho+ vyake alivyokuwa amewaonya navyo, nao wakaendelea kufuata sanamu za ubatili+ nao wenyewe wakawa ubatili,+ naam, kwa kuiga mataifa yaliyowazunguka pande zote, ambao Yehova alikuwa amewaamuru wasifanye kama wao;+

  • Waebrania 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 si kulingana na lile agano+ ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ kwa sababu hawakuendelea kulishika agano langu,+ hivi kwamba nikaacha kuwajali,’ asema Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki