1 Wafalme 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akajibu: “Nimekuwa na bidii kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi;+ kwa maana Waisraeli wameliacha agano lako,+ wamebomoa madhabahu zako, na kuwaua manabii wako kwa upanga,+ nimebaki mimi peke yangu. Sasa wanataka kuniua.”*+ 1 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 19:10 w11 7/1 21 1 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:10 Igeni, uku. 104 Mnara wa Mlinzi,7/1/2011, uku. 21
10 Akajibu: “Nimekuwa na bidii kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi;+ kwa maana Waisraeli wameliacha agano lako,+ wamebomoa madhabahu zako, na kuwaua manabii wako kwa upanga,+ nimebaki mimi peke yangu. Sasa wanataka kuniua.”*+