1 Wafalme 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Eliya akaendelea kuwaambia watu: “Mimi tu nimebaki nikiwa nabii wa Yehova,+ mimi peke yangu, nao manabii wa Baali ni watu 450. Methali 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, umejionyesha kuwa umevunjika moyo siku ya taabu?+ Nguvu zako zitakuwa chache. Waroma 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova, wamewaua manabii wako, wamezibomoa madhabahu zako, nami peke yangu nimebaki, nao wanaitafuta nafsi yangu.”+
22 Na Eliya akaendelea kuwaambia watu: “Mimi tu nimebaki nikiwa nabii wa Yehova,+ mimi peke yangu, nao manabii wa Baali ni watu 450.
3 “Yehova, wamewaua manabii wako, wamezibomoa madhabahu zako, nami peke yangu nimebaki, nao wanaitafuta nafsi yangu.”+