Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Usiviinamie wala kushawishiwa kuvitumikia,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ na ambaye huleta adhabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la akina baba, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+

  • Hesabu 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani ameigeuzia mbali ghadhabu+ yangu kutoka juu ya wana wa Israeli kwa kutovumilia kwake ushindani wowote kunielekea mimi katikati yao,+ hivi kwamba sikuwaangamiza wana wa Israeli kwa kusisitiza kwangu kwamba watu wajitoe kikamili.+

  • 2 Wafalme 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha akasema: “Enda pamoja nami, utazame jinsi ambavyo sivumilii ushindani+ wowote kumwelekea Yehova.” Nao wakaendelea kumwendesha pamoja naye katika gari lake la vita.

  • Zaburi 69:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+

      Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+

  • Zaburi 119:139
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 139 Bidii yangu imenimaliza,+

      Kwa sababu wapinzani wangu wameyasahau maneno yako.+

  • 2 Wakorintho 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana nina wivu juu yenu kwa wivu wa kimungu,+ kwa maana mimi binafsi niliwachumbia+ ninyi mume+ mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi kiadili+ kwa Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki