1 Mambo ya Nyakati 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Eleazari+ naye akamzaa Finehasi.+ Finehasi akamzaa Abishua.+ 1 Mambo ya Nyakati 6:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Na hawa ndio waliokuwa wana wa Haruni:+ Eleazari+ mwana wake, Finehasi+ mwana wake, Abishua+ mwana wake, Ezra 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mwana wa Abishua+ mwana wa Finehasi+ mwana wa Eleazari+ mwana wa Haruni+ mkuu wa makuhani+— Ezra 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wa wana wa Finehasi,+ Gershomu; wa wana wa Ithamari,+ Danieli;+ wa wana wa Daudi,+ Hatushi;
50 Na hawa ndio waliokuwa wana wa Haruni:+ Eleazari+ mwana wake, Finehasi+ mwana wake, Abishua+ mwana wake,