28“Na wewe, mlete karibu nawe Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye kutoka katikati ya wana wa Israeli ili awe kuhani kwangu,+ Haruni,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari,+ wana wa Haruni.
32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.