21 Hivi ndivyo vitu vilivyohesabiwa vya maskani, maskani ya Ushuhuda,+ vilivyohesabiwa kwa amri ya Musa, kuwa utumishi wa Walawi+ chini ya uongozi wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani.
16 Naye Musa akamtafuta sana huyo mbuzi wa toleo la dhambi,+ na, tazama! alikuwa ameteketezwa kabisa. Basi akawaka hasira kuwaelekea Eleazari na Ithamari, wana wa Haruni waliokuwa wamebaki, na kusema: