Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hivi ndivyo vitu vilivyohesabiwa vya maskani, maskani ya Ushuhuda,+ vilivyohesabiwa kwa amri ya Musa, kuwa utumishi wa Walawi+ chini ya uongozi wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani.

  • Mambo ya Walawi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye Musa akamtafuta sana huyo mbuzi wa toleo la dhambi,+ na, tazama! alikuwa ameteketezwa kabisa. Basi akawaka hasira kuwaelekea Eleazari na Ithamari, wana wa Haruni waliokuwa wamebaki, na kusema:

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wana wa Amramu+ walikuwa Haruni+ na Musa,+ na Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu+ walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote, bali Eleazari+ na Ithamari wakaendelea kuwa makuhani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki