20 Naye Miriamu nabii, dada ya Haruni,+ akachukua tari mkononi mwake;+ na wanawake wote wakaanza kutoka pamoja naye wakiwa na matari na kucheza dansi.+
10 Nalo wingu likageuka na kutoka juu ya hema, na, tazama! Miriamu alikuwa amepigwa kwa ukoma mweupe kama theluji.+ Ndipo Haruni akageuka kumwelekea Miriamu, na, tazama! alikuwa amepigwa kwa ukoma.+