Mambo ya Walawi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Musa akamtafuta sana mbuzi wa dhabihu ya dhambi,+ lakini akagundua kwamba alikuwa ameteketezwa. Kwa hiyo akawakasirikia sana Eleazari na Ithamari, wana waliobaki wa Haruni, akawauliza: Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:16 w11 2/15 12 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:16 Mnara wa Mlinzi,2/15/2011, uku. 12
16 Musa akamtafuta sana mbuzi wa dhabihu ya dhambi,+ lakini akagundua kwamba alikuwa ameteketezwa. Kwa hiyo akawakasirikia sana Eleazari na Ithamari, wana waliobaki wa Haruni, akawauliza: