3 Lakini kwa wana wa Israeli utasema, na kuwaambia, ‘Jichukulieni mbuzi-dume+ kwa ajili ya toleo la dhambi na ndama na mwana-kondoo dume,+ kila mmoja wao mwenye umri wa mwaka mmoja, ambao hawana kasoro, kwa ajili ya toleo la kuteketezwa,
15 Kisha akatoa lile toleo la watu+ na kumchukua yule mbuzi wa toleo la dhambi aliyekuwa kwa ajili ya watu na kumchinja na kutoa toleo la dhambi kama yule wa kwanza.