5 “Na kutoka katika kusanyiko la wana wa Israeli+ atachukua wana-mbuzi dume wawili kwa ajili ya toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+
19 Lakini wakaahidi kwa kupeana mikono kwamba watawafukuza wake zao, na kwamba, kwa kuwa walikuwa na hatia,+ kondoo-dume+ wa kundi atolewe kwa ajili ya hatia yao.