17 “Na ikiwa nafsi inatenda dhambi kwa kuwa anafanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe, ingawa hakujua,+ hata hivyo amekuwa na hatia na lazima atajibu kwa sababu ya kosa lake.+
4 basi itakuwa kwamba akitenda dhambi na kuwa na hatia,+ lazima atarudisha kile kitu alichopata kwa unyang’anyi au alichopata kwa upokonyaji ambacho amechukua kwa kupunja au kitu alicho nacho ambacho alipewa au kitu kilichopotea ambacho amekipata,