18 Naye atamleta kondoo-dume ambaye hana kasoro kutoka katika kundi kulingana na thamani iliyokadiriwa, kwa ajili ya toleo la hatia,+ kwa kuhani; naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa sababu ya kosa alilofanya bila kukusudia, ingawa yeye mwenyewe hakujua, naye atasamehewa.+