18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+
29 Sasa ikawa kwamba Musa alipoteremka kutoka katika Mlima Sinai, yale mabamba mawili ya Ushuhuda yalikuwa mkononi mwa Musa aliposhuka kutoka mlimani,+ naye Musa hakujua kwamba ngozi ya uso wake ilikuwa ikitoa miale kwa sababu alikuwa amesema naye.+