21 Hivi ndivyo vitu vilivyohesabiwa vya maskani, maskani ya Ushuhuda,+ vilivyohesabiwa kwa amri ya Musa, kuwa utumishi wa Walawi+ chini ya uongozi wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani.
2 Na uwalete karibu, pia, ndugu zako wa kabila la Lawi, ukoo wa baba yako, pamoja nawe, wapate kuungana nawe na wapate kukuhudumia wewe,+ wewe na wana wako pamoja nawe, mbele ya hema la Ushuhuda.+