Kutoka 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+ Hesabu 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Huo ndio utumishi wa familia za wana wa Wagershoni+ katika hema la mkutano, na utumishi wao wa lazima uko chini ya mkono wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani. 1 Mambo ya Nyakati 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na wana wa Amramu+ walikuwa Haruni+ na Musa,+ na Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+
23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+
28 Huo ndio utumishi wa familia za wana wa Wagershoni+ katika hema la mkutano, na utumishi wao wa lazima uko chini ya mkono wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani.
3 Na wana wa Amramu+ walikuwa Haruni+ na Musa,+ na Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+