4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipotoa moto haramu+ mbele za Yehova katika nyika ya Sinai; nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao.
33 Huu ndio utumishi wa familia za wana wa Merari+ kulingana na utumishi wao wote katika hema la mkutano, chini ya mkono wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani.”+