36 Na uangalizi ambao wana wa Merari walipewa uwe wajibu wao ulikuwa kusimamia viunzi+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio vyake na vyombo+ vyake vyote na utumishi+ wake wote,
31 Na huu ndio wajibu wao, mzigo wao,+ kulingana na utumishi wao wote katika hema la mkutano: vile viunzi vya mbao+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio+ vyake,