19 “Nawe utafanya vikalio+ 40 vya fedha chini ya vile viunzi 20; vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili, na vikalio viwili chini ya kile kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
27 Na talanta mia moja za fedha zilitumiwa kutengeneza vikalio vya mahali patakatifu na vikalio vya lile pazia. Vikalio mia moja vilitoshana na talanta mia moja, talanta moja kwa kikalio kimoja.+