Kutoka 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+ Kutoka 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akamwambia Musa: “Panda uende kwa Yehova, wewe na Haruni, Nadabu na Abihu+ na wanaume wazee 70+ wa Israeli, nanyi mtainama mkiwa mbali. Mambo ya Walawi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakachukua na kuleta kila mmoja wao chetezo+ chake na kutia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake, nao wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ ambao hakuwa amewaamuru.
23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+
24 Naye akamwambia Musa: “Panda uende kwa Yehova, wewe na Haruni, Nadabu na Abihu+ na wanaume wazee 70+ wa Israeli, nanyi mtainama mkiwa mbali.
10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakachukua na kuleta kila mmoja wao chetezo+ chake na kutia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake, nao wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ ambao hakuwa amewaamuru.