Mambo ya Walawi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakachukua na kuleta kila mmoja wao chetezo+ chake na kutia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake, nao wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ ambao hakuwa amewaamuru. 1 Mambo ya Nyakati 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na wana wa Amramu+ walikuwa Haruni+ na Musa,+ na Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+
10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakachukua na kuleta kila mmoja wao chetezo+ chake na kutia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake, nao wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ ambao hakuwa amewaamuru.
3 Na wana wa Amramu+ walikuwa Haruni+ na Musa,+ na Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+